Nick Howell

“Aphorisms” za Phaedra

  Tunao unyenyekevu mkubwa kwa kuwa na ‟aphorisms” 33 zilizoelekezwa kwetu kutoka kwa Uongozi toka kwa Mwanamke wa Mwanga anayeitwa Phaedra. Tumetoa orodha yake hapa chini na pia ni pamoja na ‟aphorisms” nyingine ambazo ni wazi upande wa kulia wa tovuti pamoja na ‟aphorisms” zingine. Ni matumaini yetu kuwa zitatoa msukumo ndani na nje ya tahajudi zako. 1. Baada ya… Read more →

Shukrani

  Shukrani inaweza kujitokeza tu wakati fahamu zetu zimepanuka kiasi cha kutosha, ili kufunua na kudhihirisha mtazamo wa uhusiano kati ya binafsi na kile anbacho siyo binafsi. Kisha tunaweza kuona udhaifu wetu, udogo na mipaka yetu, tofauti na ukubwa wa ulimwengu, ambapo tunakuta “kuwepo kwa uhai wetu”. Kwa kuonyesha na kuwa na shukrani, tunakubali kwetu wenyewe, na kwa wengine, hatari… Read more →

Huduma

  Huduma, kwa wengi, itachukuliwa kama neno na dhana ya mtindo wa zamani. Katika dunia ya leo ya “mimi nitafaidikaje”, wazo la utii kwa njia ya kumhudumia mtu au jitihada fulani ni ya ajabu na kuonekana ya kizamani. Hata hivyo, linapokuja suala la Kiroho, ni kitu tunapaswa wote kutafakari na kuidhinisha kama njia ya asili ya kutembea njia yetu. Kama… Read more →

‟Initiation” Mpya ya Kwanza

  Jana usiku nilihudhuria kuzaliwa mara ya pili kwa mtoto wangu (Machi 19, 2015). Miaka thelathini na mitano iliyopita nilikuwepo wakati wa kuzaliwa kwake kimwili na sasa katika Kuamka kwake Kiroho. Nishati ambayo sisi sote tulishuhudia na kuhisi ni kama kufunikwa na kitu kama shuka safi lenye Upendo mkubwa bila masharti ambao ulionekana na kuyanaakisi kwa kila kitu karibu yetu.… Read more →

Ushuhuda (M.H.)

  Enlightenment yangu ilikuwa ni furaha safi. Wakati mimi nilipokaa kutahajudi nilibadilishwa na Upendo usio na mipaka ambao nilifahamu ni Asili yangu ya Kweli. Tangu wakati huo mimi nimekuwa na uwezo wa kutimiza lengo langu la kuwasaidia wengine kwa kuanza safari yao ya Kiroho na kufikia Enlightenment. Napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wale wote ambao wanasaidia katika Kazi hii ya… Read more →

Ushuhuda (N.H.)

  “Wakati nilipokaa kwa tahajudi ya Initiation ya kwanza kweli sikuwa na matarajio makubwa sana. Watu mara nyingi hutia chumvi lakini kwa kawaida ni kwa sababu ya shauku na sio kwa sababu ya udanganyifu. Hivyo nilikuwa hali ya uwazi kiakili ambayo nilikuja kukaa nayo kwenye mto wangu siku hiyo. Kwa vyovyote nisingeweza kuwa tayari kwa kile kilichotendeka wakati mimi nilipopewa… Read more →