Monthly Archives: June 2018

Madhumuni ya Njia (Tahajudi)

  Madhumuni ya awali ya Njia hii ya Kiroho ni kwa ajili ya Mtafutaji kupewa upatikanaji wa Ngazi za Juu za Ufahamu ambazo huonekana kama Mwanga na Sauti nzuri za Ndani. Kwa Kutahajudi kwenye Nguvu hizi mtu hujifunza kuhusu Siri za Ulimwengu na kuanza kutambua Asili yao ya Kweli. Hii ni zaidi ya nyanja za kimwili, kihisia na kiakili. Sio… Read more →

Viumbe Wengine (Other Intelligences)

  Tunapoangalia ukubwa wa ulimwengu ni vigumu kudhani kwamba binadamu anawakilisha kilele cha maisha ya Viumbe wenye akili. Kama pia tunafikiria uwezekano wa kuwepo kwa “Dimensions” zingine basi hatuna budi kufikiria kwa uzito uwezekano wa kuwepo kwa Viumbe ambao wanatuzidi sisi wote kitaalam na kiakili. Viumbe wanaoishi kwenye ulimwengu wa kimwili (physical universe) na kufungwa na sheria zake watapambana sana… Read more →