Monthly Archives: July 2016

Ushuhuda (Y.F.)

  Hadithi yangu inaweza kujaza vitabu kadhaa kuwaambia uzoefu wa maisha ya binadamu mdogo mwenye mipaka kama mtu mwingine yeyote. Ningesema maisha yangu hayakuwa rahisi, kama nikiongelea changamoto basi nilikuwa nazo kadhaa. Mara zote nimekuwa na nia kubwa ya Upendo, Ukweli na Uadilifu na nilitafuta haya yote katika sehemu nyingi ambazo si sahihi mpaka mahali pekee palipobakia kutafuta ilikuwa ndani… Read more →