Ilikuwa usiku wa tarehe 28 Disemba 2021, tukiwa katika zoezi la kutahajudi, mwalimu wetu aliyekuwa akituongoza alikuja na kunigusa. Niliona mwanga Mweupe, ambao baadaye ulififia na kisha likaja ua hili kubwa la zambarau lililochanua. Kesho yake tuliendelea na tafakari, siku hii nilianza kusikia sauti za vitu, baadaye nikawa nasikia sauti kama mawimbi ya maji ya mto unaotiririka, na sauti… Read more →