Monthly Archives: July 2017

‟Ascension” Imeanza

  Tunafahamu kutoka Uongozi wa Kiroho kwamba Kupanda ‟Ascension” haitakuwa tukio la janga lakini litakua na mchakato taratibu na wa upole. Kadiri watu zaidi na zaidi wanavyoanzishwa Nguvu za Mwanga na Sauti itaanza kuwa na athari nzuri itaongezaka kwenye Sayari hii pamoja na wakazi wake. Mchakato huu tayari umeanza na kuna dalili nyingi zinazoonyesha hili. Tayari tumetaja kwamba watu wengi… Read more →

Ushuhuda

  Wakati mimi nilipokaa kwa ajili ya ‟Initiation” yangu nilikuwa na matarajio kidogo sana. Ingawa nilikuwa na heshima kwa watu ambao walinifundishwa na kuniongoza nilihisi kuwa, kutokana na bidii yao, wangekuwa na uwezekano wa ‟kutia chumvi” kidogo.   Nilikuwa nimekosea kabisa! Hakuna kitu ambacho kingeweza kunitayarisha kwa kile kilichotokea wakati mimi “nilipoguswa”.   Nilirushwa na kuchukuliwa na kupita kwenye ngazi… Read more →