Monthly Archives: December 2018

Muhtasari: Maswali na Majibu

  Njia ya Tahajudi ya Mwanga na Sauti ni nini? Mwanga na Sauti ni Nguvu zinazojumuisha ngazi za juu za Ulimwengu wa Kiroho wa Kweli. Ngazi hizi za maumbile ni zaidi ya ulimwengu wa kimwili ambao ni pamoja na mwili, hisia na cha muhimu, zaidi ya mawazo yote. Hizi ngazi za Maumbile ndio Chanzo cha kila kitu ambacho sisi kwa… Read more →